KANISA LA ABC LAWAKUMBUKA WAJANE, WAGANE KRISMAS
Askofu Kiongozi wa Kanisa la Abundant Blessing Centre (ABC) la Mtaa wa Mandela jijini Dar es Salaam, Flaston Ndabila (katikati) akikabidhi juzi msaada wa chakula na vitu vingine kwa Wagane na Wajane. Askofu Kiongozi wa Kanisa la Abundant Blessing Centre (ABC) la Mtaa wa Mandela jijini Dar es Salaam, Flaston Ndabila akikabidhi juzi msaada wa vifaa vya shule kwa watoto wenye uhitaji.Kulia ni mke wake Janeth Ndabila. Askofu Kiongozi wa Kanisa la Abundant Blessing Centre (ABC) la Mtaa wa Mandela jijini Dar es Salaam, Flaston Ndabila akikabidhi juzi msaada wa vifaa vya shule kwa watoto wenye uhitaji.Kulia ni Mke wake Janeth Ndabila. Askofu Kiongozi wa Kanisa la Abundant Blessing Centre (ABC) la Mtaa wa Mandela jijini Dar es Salaam, Flaston Ndabila akikabidhi juzi msaada wa chakula kwa Nasaba Seifu. Mgane Hussein Libe akishukuru baada ya kupokea msaada huo. umbe wa Serikali ya mtaa wa Mandela, Leonard Chalema na Tabrisa Bushiri Wajane wakiondoka katika kanisa hilo baada ya k...