TAASISI TA UHASIBU SINGIDA YAZINDUA UMOJA WA WANAFUNZI WA FANI YA UNUNUZI NA UGAVI
Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Tawi la Singida, Dkt. James Mrema akisoma taarifa wakati wa hafla ya kuzindua rasmi umoja wa wanafunzi wanaochukua fani ya ununuzi na ugavi. Mwenyekiti wa umoja wa wanafunzi wanaochukua fani ya ununuzi na ugavi, Evarist Peter akisoma taarifa ya umoja huo. Mgeni rasmi wa hafla ya kuzindua rasmi umoja wa wanafunzi wanaochukua fani ya ununuzi na ugavi mkoani Singida, Kaimu Afisa Vijana wa mkoa huo, Frederick Ndahani (katikati) akiwa na viongozi mbalimbali. Kulia ni mkuu wa Taasisi hiyo, Singida na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Ununuzi na Ugavi wa Taasisi hiyo nchini, Godfred Mbanyi wakifuatilia taarifa ya umoja wa wanafunzi wanaochukua fani ya ununuzi na ugavi. Mlezi wa umoja huo, Mhadhiri Msaidizi, Eliaichi Kyara, akifuatilia hafla hiyo. Mgeni rasmi akihutubia wanafunzi wanaochukua fani ya ununuzi na ugavi katika Taasisi hiyo ya Uhasibu Tawi la Singid...