Posts

Showing posts from April, 2021

RC NCHIMBI ATAKA MANUFAA YA CHANJO YATANGAZWE

Image
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi akikata Utepe kuzindua Maadhimisho ya Wiki ya Chanjo kimkoa kwenye viwanja vya Kata ya Muhintiri, Tarafa ya Ihanja, Wilaya ya Ikungi jana. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya hiyo Edward Mpogolo. Nchimbi akizungumza na kuhamasisha akina mama kuzingatia kuwafikisha watoto kwenye Vituo vya Afya kwa wakati na kupata dozi ya chanjo kamilifu ili kuwahakikishia afya bora katika ukuaji wao. Baadhi ya Wanawake wakifuatilia maadhimisho hayo. Kaimu Mganga Mkuu wa MkoawaSingida, Ernest Mgeta akizungumza wakati wa uzinduzi huo. Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo akizungumza. Mratibu wa Chanjo Mkoa wa Singida, Jadili Mhanginonya (wa kwanza kushoto) na watendaji wengine kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakifuatilia mfululizo wa matukio ya uzinduzi huo Wauguzi wa Afya wakiw a wamejipanga kwa maandalizi ya uzinduzi watukio la Wiki ya Chanjo. Maadhimisho yakiendelea. Sherehe za uzinduzi huo zikiendelea. Na Godwin Myovela, Singida MKUU wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema ...

KAMATI YA MAKATIBU WAKUU YAANDAA MKAKATI KABAMBE WA KUBORESHA MICHEZO MASHULENI

Image
  Kamati ya Makatibu Wakuu wa Wizara zenye dhamana yaElimu,Michezo na TAMISEMI  wakiwa kwenye kikao  kazi leo Aprili 27,2021 Jijini Dodoma kujadili utekelezaji wa maelekezo ya Mawaziri wenye dhamana hizo hizo kwa lengo la   kuandaa Mkakati wa Utekelezaji wa masuala mbalimbali ya uimarishaji wa somo la Elimu kwa Michezo na Michezo katika shule za Msingi na Sekondari hapa nchini chini ya uenyekiti wa Prof.Riziki Shemdoe ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya  TAMISEMI. Dkt. Hasssan Abbasi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI anayeshughulikia eneo la Elimu ndugu  Gerard Mweli (kulia) wakihudhuria kikao cha Kamati ya Makatibu Wakuu wa Wizara zenye dhamana ya Elimu, Michezo na TAMISEMI  wamefanya kikao kazi leoAprili 27,2021Jijini Dodoma kujadili utekelezaji wa maelekezo ya Mawaziri wenye dhamana hizo hizo kwa lengo la   kuandaa Mkakati wa Utekelezaji wa mas...

MALARIA YAENDELEA KUWASAKAMA WATOTO MKOANI SINGIDA

Image
p> Afisa Afya katika Kituo cha Afya Sokoine mjini Singida, Malangwa Joseph Seni akimpima uzito mmoja wa watoto waliohudhuria Kliniki hiyo. Bango lililobeba Kaulimbiu ya Siku ya Malaria Duniani mwaka huu likiwa mbele ya moja ya majengo ya Kituo cha Afya Sokoine mjini Singida. Baadhi ya wateja wakisubiri kupata huduma ya  mama  baba na mtoto Kituo cha Afya Sokoine mjini Singida.  Na Abby Nkungu, Singida  IMEBAINIKA kuwa malaria bado ni tatizo kubwa linalosumbua watoto mkoani Singida kutokana na takwimu za idara ya afya kuonesha kuwa zaidi ya asilimia 30 ya wanaougua ugonjwa huo na kwenda kupatiwa matibabu kwenye vituo vya huduma wana umri chini ya miaka mitano. Hayo yalibaika juzi Aprili 25 mwaka huu Tanzania ilipoungana na Nchi nyingine Wanachama wa  Shirika la  Afya Duniani (WHO)  kuadhimisha Siku ya Malaria Duniani chini ya kauli mbiu “Ziro Malaria inaanza na mimi–Nachukua hatua kuitokomeza”   Taarifa ya idara ya afya  iliyotolewa na Ka...

SUA INAONGOZA KWA MAPAMBANO DHIDI YA VVU NA UKIMWI KWA VYUO VIKUU NCHINI

Image
  Daktari Kiongozi wa Hospitali za SUA naMkuu wa idara za huduma za hospitali Dkt. Omari Kasuwi akifungua mafunzo hayo ya waelimishaji rika chuoni hapo. Mratibu wa UKIMWI na Magonjwa sugu yasiyoambukiza SUA Dkt. Erhard Kapilima akitoa maelezo ya maengo ya mafunzo hayo kabla ya ufunguzi rasmi wa mafunzo kwa waelimishaji rika SUA. Daktari Bingwa wa Wanawake na Uzazi ambaye pia ni Daktari kiongozi wa hospitali ya SUA upande wa Mazimbu Dkt. Elimwidimi Swai akitoa mada yake kuhusu UKIMWI na Virusivya Ukimwi VVU. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Watoto Dkt. Graca Chotamawe akiwasilisha mada yake kuhusu sababu  zinazochangia maambukizi ya virusi vya ukimwi na takwimu za Ugonjwa huo. Mratibuwa UKIMWI na Magonjwa sugu yasiyoambukiza SUA Dkt. Erhard Kapilima akitoa maelezo ya malengo ya mafunzo hayo kabla ya ufunguzi rasmi wa  mafunzo kwa waelimishajirika SUA. Washiriki wa mafunzo hayo ya uelimishaji rika wakichangia na kufuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa  kwenye...

SERIKALI YAMALIZA MGOGORO WA ARDHI BAINA YA WANANCHI NA NARCO KIGOMA

Image
  Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akiongea na wananchi wa Kijiji cha Mpeta ambapo alieleleza kuwa zaidi ya Ekari Elfu Kumi na Nne (14000) zitegwe kutoka katika Ranchi ya Uvinza na zigawiwe kwa wananchi wanaoishi katika eneo la Mwandulubhantu na Kazaroho ili wazitumie kwa makazi na shughuli nyingine za kimaendeleo. Waziri Ndaki alitembelea Wilaya ya Uvinza iliyopo Mkoani Kigoma jana na kufanya maamuzi hayo kwa lengo la kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu kati ya wananchi hao na Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO). Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki (kushoto) akiagana na mmoja kati ya Wazee wanaoishi katika Kijiji cha Mpeta aliyejitokeza kuhudhuria mkutano wa Waziri huyo na Wananchi wa Kijiji hicho uliofanyika Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma jana. Katika Mkutano huo, Waziri Ndaki aliamua Ekari zaidi ya Elfu Nane (8000) zimegwe kutoka katika Ranchi ya Uvinza ili wakabidhiwe wananchi wanaoishi katika eneo la Mwandulubhantu lililopo katika kijiji cha Mpeta ili wazitumi...

SERIKALI KUJA NA MKAKATI ENDELEVU KUDHIBITI UVUVI HARAMU NCHINI

Image
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akizungumza na Wavuvi wa Mwalo wa Kibirizi ambapo alisema kuwa Serikali ipo katika mipango ya kuandaa mkakati shirikishi na endelevu wa kupambana na uvuvi haramu nchini. Ndaki alifanya Mkutano na Wavuvi wanaofanya shughuli zao katika Mwalo wa Kibirizi uliopo Mkoani Kigoma jana. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki (kushoto) akijadiliana jambo na Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi), Dkt. Rashid Tamatamah (kulia) Katika Mkutano wa Waziri huyo na Wavuvi wanaofanya shughuli zao katika Mwalo wa Kibirizi uliofanyika Mkoani Kigoma jana. Mchakataji Mazao ya Uvuvi, Prisca Steven akitoa kero zinazowashumbua Wachakataji wa Mazao ya Uvuvi kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki (wa kwanza kushoto) katika mkutano wa waziri huyo na Wavuvi wanaofanya shughuli zao katika mwalo wa Kibirizi uliofanyika Mkoani Kigoma jana. Sehemu ya Wavuvi wanaofanya shughuli zao katika Mwalo wa Kibirizi wakifuatilia matukio yanayoendelea    katika ...

BODI YAPONGEZA KASI YA TANROADS, TARURA MKOANI SINGIDA

Image
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi (kulia) ambaye ni Mwenyekiti wa Kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Singida akifungua kikao hicho kilichofanyika jana mkoani hapa. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Alhaji Juma Kilimba na Katibu Tawala wa mkoa huo, Dkt. Angelina Katambi. Meneja wa  Wakala wa Barabara  Nchini (TANROADS) Mkoa wa Singida , Mhandisi Matari Masige akielezea  utekelezaji wa mipango ya matengenezo ya barabara hadi kufikia Deseba 30, 2020.  Makamu Mwenyekiti wa kikao hicho. ambaye ni Mbunge wa Singida Kaskazini, Ramadhani Ighondo,  akichangia jambo kwenye kikao hicho. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi  (CCM) Mkoa wa Singida, Alhaji Juma Kilimba, akizungumzia mafanikio makubwa yaliyofanywa na Tanroads na Tarura ya kutengeneza barabara katika mkoa huo. Baadhi ya wabunge wakiwa katika kikao hicho,. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Manyoni Magharibi, Yahaya Masare, Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singi...