Posts

Showing posts from May, 2021

SERIKALI SINGIDA YAKAMATA MALORI YENYE TANI 40 ZA MAZAO YASIYO LIPIWA USHURU

Image
Mkuu wa Wilaya ya Singida, Mhandisi Paskas Muragili akikagua moja ya lori lililokamatwa na shehena ya maharage ambayo yanadaiwa kutolipiwa ushuru. Mfanyabiashara wa maharage , Philipp Lehema akizungumza na Mkuu wa Wilaya Paskas Muragili baada ya kukamatwa kwa maharage hayo. Mkaguzi wa mazao katika Kituo cha Njia Panda, Juma Athumani akitoa maelezo kwa  DC Muragili jinsi alivyo yakamata magari hayo. Malori yaliyokamatwa na mzigo huo. Katibu Tawala wa Wilaya hiyo, Hassan Ngoma  (katikati) akizungumzia tukio hilo. DC Muragili  (kushoto) akizungumza na dereva Moses Zelothe ambaye gari lake lilikamatwa na mchele ambao haukulipiwa ushuru. Diwani Mstaafu Hamisi Labu akiipongeza Serikali kwa kuyakamata magari hayo na kuwaomba wafanyabiashara kujenga tabia ya kulipa ushuru wa mazao pasipo shuruti. Na Dotto Mwaibale, Singida SERIKALI mkoani Singida imekamata malori matano yenye magunia ya mazao mchanganyiko zaidi ya tani  40 yaliyokuwa yakipitia mkoani hapa bila ya kuwa na nya...

WFP YAKABIDHI MRADI WA BORESHA LISHE SINGIDA

Image
Viongozi mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida, wakiwa na kabrasha lenye maelezo ya Mradi wa Boresha Lishe baada ya kukabidhiwa rasmi mradi huo  katika Kijiji cha Sekeutoure Wilayani Singida jana. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri  hiyo, Eliya Digha, Katibu Tawala wa Wilaya hiyo, Hassan  Ngoma, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida, Rashid Mandoa, Mwakilishi wa Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Idara ya Afya Kitengo cha Lishe, Mariam Nakuwa, Mwenyekiti wa kijiji hicho Joshua Majengo na Afisa Lishe wa Wilaya hiyo, Neema Swai. Katibu Tawala wa Wilaya hiyo, Hassan  Ngoma,akihutubia kwenye hafla hiyo. Afisa Lishe kutoka WFP, Neema Shosho akizungumza kwenye hafla hiyo. Wawezeshaji wakiwa na bidhaa zao walizozitengeneza kutokana na vyakula vya mbalimbali pamoja na nafaka. Wananchi wa Kijiji cha Sekeutoure wakiwa kwenye hafla hiyo. Wananchi wa Kijiji cha Sekeutoure wakiwa kwenye hafla hiyo. Wananchi wa Kijiji cha Sekeutoure wakiwa kwenye hafla hiy...

WAWEKEZAJI WAIOMBA SERIKALI KUDHIBITI UVAMIZI RANCHI ZA TAIFA

Image
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki (kulia) akiongea na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Fredy Lowassa (kushoto) walipokutana katika kikao kilichoandaliwa na Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) kilichofanyika jijini Dodoma jana. Mbunge huyo alikuwa ni miongoni    mwa Wawekezaji waliohudhuria kikao hicho. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Sehemu ya Wawekezaji waliohudhuria kikao kilichoandaliwa na Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) jijini Dodoma jana.    Na Mbaraka Kambona,   Wawekezaji wa muda mrefu katika Vitalu vya Ranchi za Taifa wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kudhibiti uvamizi unaofanywa na baadhi ya Wananchi katika maeneo hayo kwani vitendo hivyo vimekuwa kikwazo kikubwa katika kuendeleza Sekta ya Mifugo nchini.  Wawekezaji walisema   hayo kwa Waziri wa Mifugo na   Uvuvi, Mashimba   Ndaki alipokutana nao katika kikao kilichoandaliwa na Kampuni za Ranchi za Tai...

WAZEE SINGIDA WAMPOKEA RASMI RC MAHENGE, WAAHIDI KUMPA USHIRIKIANO

Image
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Binilith Mahenge, akizungumza na Wazee wa Manispaa ya Singida   kwa mara ya kwanza tangu ahamishiwe akitokea mkoani Dodoma katika kikao kilicho fanyika leo. Kulia ni .Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Wilaya  ya Singida, Ramadhan Maughu na kushoto ni Katibu Tawala Mkoa wa Singida, Dkt. Angelina Lutambi. Katibu Tawala Mkoa wa Singida, Dkt. Angelina Lutambi,akizungumza kwenye kikao hicho. Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Wilaya  ya Singida, Ramadhan Maughu akizungumza kwenye kikao hicho. Kikao kikiendelea. Naibu Mstahiki Meya wa Manispaa ya Singida, Shabani  Mkata,  akizungumza kwenye kikao hicho.  Kikao kikiendelea. Baadhi ya Watumishi wa Manispaa ya Singida wakiwa kwenye kikao hicho. Kikao kikiendelea. Kikao kikiendelea. Mzee Shabani Mwangi, akichangia jambo kwenye kikao hicho. Mzee aliye jitambulisha kwa jina moja la Duki, akichangia jambo kwenye kikao hicho.  Godwin Myovela na Dotto Mwaibale, Singida. BARAZA la ...

RC MAHENGE AJILIPUA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO KUBWA YA MBEGU ZA ALIZETI SINGIDA, ATOA MWELEKEO WA SINGIDA MPYA AKIZUNGUMZA NA VIONGOZI WA DINI

Image
 Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Binilith Mahenge, akizungumza na viongozi wa dini mkoani hapa  kwa mara ya kwanza tangu ahamishiwe akitokea mkoani Dodoma katika kikao kilicho fanyika leo Kulia ni .Mkuu wa Wilaya ya Singida, Mhandisi  Pascas Muragili na Katibu Tawala Mkoa wa Singida, Dkt. Angelina Lutambi. Padre Thomas Mangi wa Kanisa Katoliki (RC) Viongozi wa dini wakiwa kwenye kikao hicho. Kikao kikiendelea. Viongozi wa dini wakiwa kwenye kikao hicho. Kikao kikiendelea.. Kikao kikiendelea. Viongozi wa dini wakiwa kwenye kikao hicho. Kikao kikiendelea. Kikao kikiendelea. Viongozi wa dini wakiwa kwenye kikao hicho. Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Waisalaamu (BAKWATA)  Manispaa ya Singida, Hamisi Kisuke, akizungumza kwenye kikao hicho. Kaimu Sheikhe wa  Mkoa wa Singida, Issa Nassoro, akizungumza kwenye kikao hicho. Katibu wa Baraza Kuu la Waisalaamu (BAKWATA)  Mkoa wa Singida, Sheikhe, Burhani Mlau, akizungumza kwenye kikao hicho. Mchungaji Wilson Mkoma kuoka...