Posts

Showing posts from October, 2021

SlNGIDA NA DHAMIRA YA KUONDOA VIFO VYA KINA MAMA NA WATOTO WACHANGA

Image
Mkuu wa Wilaya ya Singida  Mhandisi Paskasi Muragili akihutubia wataalamu wa afya katika kikao kilichofanyika jana  Halmashauri ya Singida vijijini.  Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Singida Vijijini Ester Chaula  akizungumza kwenye kikao hicho.

SERIKALI YAIPONGEZA SUA KWA TAFITI ZA KILIMO ZENYE TIJA NCHINI

Image
Mkurugenziwa Sera na MipangoWizarayaKilimo  Bwana Obadiah Nyagiro akiwasilisha hotuba yake kwa wadau wa APRA Mtafiti kutokakatikaChuo Kikuu Cha Sokoine cha KilimoSUA  Profesa John Jeckonia akitoa ufafanuzi kwa wanahabari kuhusiana na matokeo ya utafiti huo. Mkuu wa Mradi wa APRA na Mtafiti kutoka Chuo Kikuu Cha Sokoine cha Kilimo SUA  Profesa Aida Isinika akiwasilisha matokeo ya tafiti kwa wadau.

RAIS SAMIA AIPONGEZA WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO KWA UBINIFU

Image
  Na. John Mapepele, WSUM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe, Samia Suluhu Hassan ameipongeza  Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa ubunifu wa kuandaa mikakati mbalimbali ya kuendeleza sekta za Sanaa, Utamaduni na Michezo ikiwa ni pamoja na kuandaa Tamasha kubwa la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo linaoanza kesho oktoba 28 hadi 30  mjini Bagamoyo. Rais Samia ameyasema hayo leo Oktoba 27, 2021 Ikulu  jijini Dar es Salaam kwenye  hafla maalum aliyoiandaa kwa ajili ya  kuipongeza Timu ya Taifa ya Soka  ya Wanawake (Twiga Stars) kwa kutwa Kombe la COSAFA hivi karibuni. “Ili kufanikisha ushindi naomba nitambue TFF, Wizara na Wadau wengine hongereni kwa umoja wenu, najisikia  fahari Twiga Stars  kushinda ugenini na kuleta  kombe  nyumbani” amefafanua Mhe. Rais Tamasha la kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo lenye kauli mbiu isemayo “Sanaa ni Ajira” lina lengo la kukuza na kuendeleza sanaa na utamaduni wa mtanzan...

ASILIMIA 90 WANAFUNZI SHULE ZA MSINGI MANISPAA YA SINGIDA HAWAPATI CHAKULA CHA MCHANA

Image
Watoto wa Chekechekea wanavyokuwa makini darasani wakiwa katika hali ya kushiba.  Siku ya Chakula Duniani (World Food Day) kila ifikapo Oktoba  kila mwaka. Na Abby Nkungu, Singida ZAIDI ya asilimia 90 ya shule za Msingi za Serikali Manispaa ya Singida hazitoi chakula cha mchana kwa wanafunzi wake hali inayoathiri usikivu, umakini, uelewa na ufaulu hasa kwa watoto chini ya miaka minane ambao bado wanahitaji lishe bora kwa ajili ya ukuaji ubongo ili waweze kufanya  vyema darasani. Taarifa ya Ofisa elimu Msingi  Manispaa ya Singida, Eugene Shayo inaonesha kuwa kati ya shule 50 za Serikali, nne tu zinazotoa chakula kwa wanafunzi wake wakati kwa binafsi shule zote 16 zinatoa huduma hiyo. Taarifa hiyo imekuja wakati Tanzania ikiungana na nchi nyingine duniani kote kuadhimisha Siku ya chakula Duniani ambayo hufanyika kila mwaka Oktoba 16, ambapo kwa mwaka huu ilifanyika Kitaifa mkoani Kilimanjaro kauli mbiu ikiwa ni “Uzalishaji na mazingira endelevu kwa lishe na maisha bora...

JAJI WARIOBA AFURAHISHWA NA MAFUNZO YANAYOTOLEWA SUA KUSAIDIA VIJANA NCHINI

Image
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Jaji Mstaafu  Joseph SindeWarioba akiangalia baadhi ya bidhaa wakati wa ziara yake ya siku moja ya kutembelea chuo hicho jana. Ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ikifanyika. Hapa akipata maelezo wakati wa ziara hiyo. Ziara ikiendelea, Ziara ikiendelea, Na Mwandishi Wetu, SUA Morogoro MKUU wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Jaji Mstaafu  Joseph SindeWarioba amefurahishwa na mafunzo yanayotolewa SUA kwa kushirikiana na PASS (Private Agricultural Support Sector) yanayosaidia vijana kujiajiri na jamii kwa ujumla. Jaji Warioba ametoa pongezi hizo jana katika ziara yake ya siku mbili Chuoni hapo, akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa baraza la Chuo Jaji Othman Chande na makamu mwenyekiti wake Doroth Mwanyika. “Hawa vijana akitoka hapa watasaidia kuwa walimu kwa j amii inayowazunguka na tayari wanakitu cha kufanya ukweli nimefurahi sana kuona vijana kutoka Mikoa mbalimbali kama Tabora, Mwanza, Kigoma, Rukwa wakipata mafunzo haya...

KILIMO IKOLOJIA KITAKUWA MSAADA KWA WAKULIMA WASIOMUDU KUNUNUA PEMBEJEO ZA KILIMO NCHINI

Image
Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji na mifugo  wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Soud Hassan akifunga Kongamano hilo la Kitaifa la Pili la Kilimo Hai. Profesa. Benard Chove akitoa salamu za Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA kwa niaba ya Makamu Mkuu wa chou hicho Profesa. Raphael Chibunda. Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji na mifugo  wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Soud Hassan (katikati) akimkabidhi cheti cha pongezi kwa kufanisha mkutano huo mkubwa Profesa. Benard Chove kwa niaba ya SUA. Picha ya pamoja ya washiriki kutoka SUA wakiwa wameambatana na wakulima kutoka maeneo mbalimbali ambao wanafanya tafiti na kushiriki kwenye miradi mbalimbali ya Kilimo Hai inayotekelezwa na SUA. Washiriki wa mkutano huo wakifuatilia hotuba za ufungaji wa mkutano huo wa pili wa kitaifa wa Kilimo Hai. Washiriki wa mkutano huo wakifuatilia hotuba za ufungaji wa mkutano huo wa pili wa kitaifa wa Kilimo Hai. Washiriki wa mkutano huo wakifuatilia hotuba za ufungaji wa mkutano huo wa pili wa kitaifa ...

MAAGIZO YA RC SINGIDA YATEKELEZWA NI KUHUSU KILIMO CHA UMWAGILIAJI ITAGATA ITIGI

Image
Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge  akizunguza na Wananchi wa Kijiji wa Itagata hivi karibuni kuhusu umuhimu wa kilimo cha umwagiliji  na mikakati ya kurejesha skimu ya Umwagiliaji ya Itagata ambayo imegharimu kiasi sh shilingi Bilioni 2.2. Mkuu wa Wilaya ya Manyoni   Rahabu Mwagisa (aliyesimama) akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Itagata hivi karibu. Mkutano huo ulihusu uhuishaji wa skimu ya umwagiliaji ya Itagata  ambayo serikali imetumia fedha nyingi lakini haitumuiki ipasavyo. Baadhi ya Wananchi wa Kijiji cha Itagata wakisikiliza maagizo ya mkuu wa mkoa kuhusu uboreshaji wa skimu ya Itagata. Mkuu wa mkoa akisikiliza kero mbalimba kutoka kwa wakulima wanaotumia skimu ya Itagata mara baada ya kumaliza mkutano wa hadhara. Na Bashiri Salum, Itigi. MATUMAINI ya kurejea kwa kilimo cha umwagiliaji katika skimu ya Itagata iliyopo Wilayani Itigi Mkoani Singida yameanza kuji...

GUGU KONGWA LATISHIA USTAWI WA MALISHO YA MIFUGO KANDA YA KATI

Image
Kaimu Mkurugenzi, Idara ya Utafiti, Mafunzo na Huduma za Ugani kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Kejeri Gillah (wa pili kutoka kulia waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na sehemu ya Washiriki wa Mkutano wa uwasilishaji wa utafiti wa awali kuhusu Gugu Kongwa uliofanyika jijini Dodoma jana. Mtafiti kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA), Prof. Antony Sangeda akiwasilisha sehemu ya utafiti wa Gugu Kongwa kwa Wadau wa Sekta ya Mifugo katika Mkutano wa uwasilishaji wa Utafiti huo uliofanyika jijini Dodoma jana. Mkurugenzi Mkuu, Taasisi ya Utafiti wa Mifugo (TALIRI), Prof. Erick Komba akitoa maoni yake  katika Mkutano wa uwasilishaji wa utafiti wa awali kuhusu Gugu Kongwa uliofanyika jijini Dodoma jana. Kaimu Mkurugenzi, Idara ya Utafiti, Mafunzo na Huduma za Ugani kutoka Wizara ya  Mifugo na Uvuvi, Dkt. Kejeri  Gillah (kulia) akiwa na wadau wengine wakifuatilia uwasilishaji wa utafiti wa awali kuhusu Gugu Kongwa uliofanyika  jijini Dodoma jana. Na Mbaraka ...

SUA VINARA KATIKA WABOBEZI KWENYE KILIMO IKOLOJIA NA KILIMO HAI NCHINI

Image
1.       Mtafiti Mbobezi kwenye Tafiti za Kilimo Hai kutoka SUA Prof. Kalunde Sibuga akiwasilisha maelezo yake kuhusu mchango wa SUA katika kutekeleza maazimio ya Mkutano wa kwanza wa Kitaifa wa Kilimo Hai wa mwaka 2019. 1.       Mratibu wa Mradi Kitovu cha kilimo Ikolojia Tanzania Prof. Dismas Mwaseba kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo akitoa mrejesho wa mjadala wa mifumo wa chakula. 1.       Prof. Anthony Zozimus kutoka Chou Kikuu cha Kilimo akichangia kwenye moja ya mijadala katika Kongamano hilo la pili la Kilimo Hai. John Csotantine Mwanafunzi wa shada ya uzamili kutoka SUA akiwasilisha matokeo ya utafiti wake kwenye Kongamano hilo la Kitaifa la pili la Kilimo Hai unaohusu Uboreshaji wa mazao ya mahindi na mihogo kwa kutumia mbinu za kilimo Ikolojia katika wilaya za Mvomero na Masasi nchini Tanzania 1.       Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili kutoka SUA anyefanya utafiti wa kuongeza uzalisha...

RC SINGIDA ARIDHISHWA UKUSANYAJI , UDHIBITI MAPATO WILAYA YA SINGIDA DC

Image
Mkuu wa Mkoa Singida Dk. Binilith Mahenge.  Na Mwandishi Wetu, Singida MKUU wa Mkoa wa Singida Dk. Binilith Mahenge ameridhishwa na hatua kadhaa zinazoendelea kuchukuliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Singida katika nyanja za udhibiti, kasi ya ukusanyaji na ubunifu wa vyanzo vipya vya mapato ambavyo vimewezesha kupaisha mapato kutoka 60.9 milioni mwezi Julai mwaka huu hadi kufikia milioni 139.3 mwezi Agosti. Aidha, Dk. Mahenge amepongeza uamuzi wa halmashauri hiyo kutoa eneo la ekari 50 kwa Amcos ya wazalishaji zao la Mkonge iliyopo Kata ya Mudida Kijiji cha Mpipiti, ambapo pamoja na mambo mengine, ameahidi kuhakikisha anawaunganisha kikamilifu na Bodi ya Mkonge nchini ili kuwawezesha kuanza kunufaika na bei ya soko. Akizungumza wakati wa ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo, aliwataka watendaji wa halmashauri hiyo kuhakikisha wanaainisha vyanzo vyote vya mapato na kuvifanyia tathmini ili kubaini kila chanzo kihaulisia kinapaswa kukusanya kiasi gani gani cha fedha, ku...

WIZARA YA KILIMO YAWEKA MKAZO KWENYE KILIMO HAI NCHINI

Image
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe akifungua mkutano wa pili wa Kilimo Hai unaofanyika Jijini Dodoma. Mwenyekiti wa TOAM,Dkt. Mwatima Juma akitoa neno  la ukaribisho kwa wajumbe na waalikwa wa mkutano huo. Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji na Mifugo  wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Soud Hassan akitoa salamu za Zanzibar katika matumizi ya Kilimo Hai. W adau wa Kilimo Hai kutoka mikoa yote ya Tanzania nan je ya Tanzania wakifuatilia mawasilisho na ufunguzi wa mkutano huo. Mkutano ukiendelea. Wadau wa Kilimo Hai kutoka mikoa yote ya Tanzania nan je ya Tanzania wakifuatilia mawasilisho na ufunguzi wa mkutano huo. Mkutano ukiendelea. W adau wa Kilimo Hai kutoka mikoa yote ya Tanzania nan je ya Tanzania wakifuatilia mawasilisho na ufunguzi wa mkutano huo. Mkutano ukiendelea. W adau wa Kilimo Hai kutoka mikoa yote ya Tanzania nan je ya Tanzania wakifuatilia mawasilisho na ufunguzi wa mkutano huo. W adau wa Kilimo Hai kutoka mikoa yote ya Tanzania nan ...