Posts

Showing posts from December, 2021

MKOA WA SINGIDA WAKAMILISHA UJENZI WA MADARASA 664 YA UVIKO 19 YALIYOGHARIMU SH.13.4 BILIONI

Image
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Binilith Mahenge (katikati) akikata utepe kuashia kupokea moja ya darasa la Uviko-19 kati ya 664 yaliyojengwa mkoani humo lililojengwa Shule ya Sekondari ya Issuna wilayani Ikungi mkoani Singida. Mkuu wa Mkoa Singida Dk. Binilith Mahenge akisisitiza jambo wakati akipokea madarasa hayo Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Binilith Mahenge (katikati) akifurahia ukamilikaji wa madarasa ya Uviko-19 akiwa amekaa na wakuu wa wilaya wa mkoa wa Singida na viongozi wengine. Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dorothy Mwaluko akizungumza katika hafla hiyo. Mkuu wa Wlaya ya Ikungi Jerry Muro akizungumzia utengenezaji wa madawati hayokatika wilaya hiyo. Mkuu wa Wilaya ya Singida Paskas Muragili akizungumzia utengenezaji wa madawati katika wilaya hiyo. Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Sophia Kizigo akitoa taarifa ya utengenezaji wa madawati. Mkuu wa Wilaya ya Iramba Selemani Mwenda akitoa taarifa ya utengenezaji wa madawati mbele ya mkuu wa mkoa. Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahabu Mwagisa akito...

MIGOGORO YOTE YA ARDHI WILAYANI IKUNGI MKOANI SINGIDA KUMALIZWA

Image
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Mika Likapakapa akizungumza kwenye kikao cha tathmini ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo Kata ya Mang'onyi kwa mwaka 2020/ 2021 kilichoandaliwa na Diwani wa kata hiyo Innocent Makomelo (kushoto) wilayani humo jana. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mang'onyi, Stanley Ipini. Diwani wa Kata ya Mang'onyi Innocent Makomelo, akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mwaka 2020/ 2021. Kaimu Afisa Tarafa  Ikungi Yahaya Njiku ambaye alimwakilisha mkuu wa wilaya hiyo kwenye kikao hicho, akizungumza.   Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi ambaye  Diwani wa Kata ya Siuyu Selestine Yunde akizungumza kwenye kikao hicho. Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Uchumi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi ambaye ni Diwani wa Kata ya Sepuka, Halima Ng'imba akizungumza kwenye kikao hicho. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Wilaya ya Ikungi, Bwanga Akida, akizungumza ...