Posts

Showing posts from February, 2022

WAZAZI SINGIDA WAOMBWA KUWARUHUSU WATOTO KUJIUNGA NA SKAUTI

Image
Kijana wa Skauti akitoa maelezo ya shughuli zinazofanywa na chama hicho  wakati wa maadhimisho ya  siku ya Mwanzilishi wa Skauti Duniani Baden Powells yaliyofanyika Shule ya Msingi ya Kindai iliyopo Manispaa ya Singida mwishoni mwa wiki.. Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Singida akitoa mafunzo ya jinsi ya kujiokoa na majanga mbalimbali katika maadhimisho hayo. Kushoto mwenye Skafu ni Afisa Vijana Mkoa wa Singida Frederick Ndahani.

MADIWANI MKALAMA WAPIGA STOP TABIA YA HAMISHA HAMISHA WALIMU WAKUU

Image
 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, Asia Messos, akizungumza na Madiwani katika mkutano wa kawaida wa robo ya pili wa Februari 23 na 24 wa mwaka wa fedha wa 2021/ 2022 uliofanyika jana wilayani humo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo James Mkwega. Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo James Mkwega akisisitiza jambo kwenye kikao hicho. Wimbo wa Taifa ukiimbwa. Madiwani wakiwa kwenye kikao hicho. Madiwani wa Viti maalum wakiwa kwenye kikao hicho. Kutoka kushoto ni Miriamu Hussein kutoka Kata ya Iguguno Tarafa ya Kinyagiri, Florence Misahi kutoka Nkinto Tarafa ya Kurumi, Habiba Omari kutoka Kinampundu Tarafa ya Nduguti, Maria Kitalama kutoka  Nduguti Tarafa ya Nduguti na Zaina Kihara kutoka Kinyagiri Tarafa ya Kinyagiri. Kikao kikiendelea. Mkuu wa Wilaya hiyo Sophia Kizigo  akitoa onyo kwa watu wanaojiita waganga wakienyeji maarufu kama lambalamba kuacha mara moja kupiga ramli chonganishi na kuwa atakayebainika akiendelea kufanya vi...

SHIRIKA LA SPRF LAFANYA MDAHALO WA VIONGOZI WA VIJIJI WILAYANI IKUNGI KUANGALIA JINSI WANAVYOSHUGHULIKIA MATUKIO YA UKATILI WA KIJINSIA

Image
Mratibu wa Mradi wa Shirika la Jiokoe na Umaskini yaani Stars of Poverty Rescue Foundation (SPRF)  Benard Maira, akizungumza na viongozi wa vijiji wilayani Ikungi mkoani Singida wakati wa mdahalo uliohusu haki za binadamu na namna ambavyo matukio ya ukatili wa kijinsia yanavyoshughulikiwa uliofanyika jana. Mshauri wa Masuala ya Sheria wa shirika hilo na Mratibu Msaidizi wa mradi huo , Paul Kigeja akitoa mada kwenye mdahalo huo.

MADIWANI HALMASHAURI YA IRAMBA WAPITISHA RASIMU YA BAJETI ZAIDI YA SH.41.1 BILIONI

Image
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida Innocent Msengi, akizungumza leo kwenye baraza la madiwani ambalo limepitisha rasimu ya bajeti ya zaidi ya Sh.41.1 Bilioni. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Michael Matomora na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Monica Samwel. Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Michael Matomra akizungumza kwenye kikao hicho. Mkuu wa Wilaya ya Iramba Suleiman Mwenda akizungumza kwenye kikao hicho. Katibu Tawala wa Wilaya ya Iramba, Sango Songoma akichangia jambo kwenye kikao hicho. Madiwani wakiwa kwenyekikao hicho. Mkuu wa Polisi wa Wilaya hiyo, Henry Makwasa, akijitambulisha kwenye kikao hicho baada kuhamia wilayani humo hivi karibuni. Kikao kukiendelea. Madiwani wakipitia makabrasha kwenye kikao hicho. Kikao kikiendelea. Afisa Elimu Msingi wa Wilaya hiyo Asia Matitu akijitambulisha kwenye kikao hicho baada ya kuhamia wilayani humo hivi karibuni akitokea mkoani Kigoma. Taswira ya kikao hicho. Katibu wa M...

SERIKALI YAAGIZA KUZIFUTA LESENI ZAIDI YA 500 ZA UTAFITI WA MADINI WILAYANI IRAMBA

Image
Askari wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Iramba akimpigia saluti  Naibu Waziri wa Madini Dk. Lumomo Kiruswa (katikati) mara baada ya kuwasili viwanja vya Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba kwenye  kongamano la wadau kujadili fursa na changamoto kwenye sekta ya madini lililoandaliwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Suleiman Mwenda (wa kwanza kushoto) lililofanyika wilayani humo jana. Naibu Waziri wa Madini Dk.Lemomo Kiruswa (wa pili kutoka kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Mjiolojia Mbeleye David wakati alipotembelea Banda la Wizara ya Madini katika kongamano la wadau kujadili fursa na changamoto kwenye sekta ya madini lililoandaliwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Suleiman Mwenda mkoani Singida jana. Wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya hiyo, Suleiman Mwenda Naibu Waziri wa Madini Dk.Lemomo Kiruswa (wa pili kutoka kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mjiolojia Agnetha Kato (kushoto) wakati alipotembelea Banda la Wizara ya Madini katika kongamano la wadau kujadili fursa na changamo...