Posts

Showing posts from March, 2022

WAZAZI WA WANAFUNZI WALIOFAULU KWENDA SEKONDARI LAKINI HAWAJARIPOTI SHULENI KUFIKISHWA KORTINI IRAMBA

Image
Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida Suleiman Mwenda akitoa maelekezo kwa wajumbe wa kamati ya Siasa na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya hiyo wakati wakikagua moja ya caravati linalojengwa katika Barabara ya Maluga Mtaa Saba -Misuna na Mgungia hadi Kaselya wakati kamati hizo zilipokuwa zikikagua  miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha mwaka mmoja wa uongozi wake Tarafa ya Shelui wilayani humo jana. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Iramba, Samuel Ashery akizungumza wakati kamati hizo zilipokuwa zikikagua mradi wa maji wa Kijiji cha Wembere uliopo katika Tarafa hiyo. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Innocent Msengi akizungumza kwenye ziara hiyo. Afisa Tarafa ya Kinampanda Cholo Mtaki akiwatambulisha viongozi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Kitukutu wakati wa ziara ya kamati hizo. Meneja wa Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Wilaya ya Iramba Mhandisi Ez...

TANZANIA YAJIPANGA KUTUMIA WANAHABARI KUFIKIA MAAZIMIO YA MALABO

Image
p> Meneja wa Kituo cha Utafiti cha TARI Mikocheni Dkt.Joseph Ndunguru akifungua mafunzo hayo ya kitaifa ya siku nne kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Afisa Programu ya CAADP -XP4, Bi. Futh Magagula akitoa salamu za Taasisi ya Uratibu wa Tafiti za Kilimo Afrika (CCARDESA) wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo jijini Dar es salaam. Meneja wa Mawasiliano na menejimenti ya Maarifa kutoka Taasisi ya Utafiti Tanzania (TARI) Dkt. Richard Kasuga akieleza malengo ya Mafunzo hayo ya Kiataifa ya siku nne kwa Maafisa mawasiliano, Wanahabari na wadau wengine. Afisa Habari na Menejiment ya Maarifa kutoka kutoka Taasisi ya Uratibu wa Tafiti za Kilimo Afrika (CCARDESA) Bi. Bridget Kakulwa akieleza akieleza matarajio ya Mafunzo hayo. Bwana Shadrack Ndalawa msimamizi wa dawati la CAADP Wizara ya Kilimo akieleza utekeeleaji wa maazimio Malabo upande wa Tanzania Washiriki wa Mafunzo hayo wakifuatilia Hotuba za ufunguzi.   Washiriki wa Mafunzo hayo wakifuatilia Hotuba za ufunguzi.   Washirik...