Posts

Showing posts from June, 2022

RC SINGIDA ATAHADHARISHA WANANCHI KUTOUZA CHAKULA OVYO, HALI NI MBAYA

Image
  Mkuu wa Mkoa Singida Dk.Binilith Mahenge akizungumza na Wananchi wa Ikungi  mkoani humo katika mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero zao na kuzitafutia ufumbuzi uliofanyika viwanja vya Stendi ya Mabasi leo Juni 30, 2022. Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Binilith Mahenge (katikati) na Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Jerry Muro (wa kwanza kushoto) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Justice Kijazi wakipokea kero kutoka kwa mwananchi aliyefika kwenye mkutano huo.  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Justice Kijazi akitoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali katika mkutano huo. Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Jerry Muro akizungumza kwenye mkutano huo. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Ally Mwanga akichangia jambo kwenye mkutano huo. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi (ACP) Lukas Mwakatundu akizungumza kwenye mkutano huo.   Kamanda wa Uhamiaji Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi (ACP) Phaustine  Ngunge akizungumza k...

DC SOPHIA KIZIGO AWAALIKA WAWEKEZAJI KWENDA KUWEKEZA KILIMO CHA KOROSHO MKALAMA

Image
Mkuu wa Wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Sophia Kizigo akiwaonesha Wananchi wa Kata ya Iguguno korosho ambazo kwa mara ya kwanza zimeanza kuzalishwa wilayani humo wakati wa mkutano wa kupokea kero ulioongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Binilith Mahenge uliofanyika jana. Mkuu wa Wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Sophia Kizigo akifurahi waakti akipeana mkono na  Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Binilith Mahenge baada ya kumkabidhi korosho ambazo kwa mara ya kwanza zimeanza kuzalishwa wilayani humo wakati wa mkutano wa kupokea kero za wananchi uliofanyika jana Kata ya Iguguno.  Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Binilith Mahenge. akizungumza na wananchi wa Kata ya Iguguno wakati wa mkutano huo.  Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Binilith Mahenge na Mkuu wa Wilaya ya Mkalama wakiserebuka wakati wa uzinduzi wa wimbo maalum wa kuhamasisha Sensa ya Watu na Makazi pamoja na mapokezi ya Mwenge Uhuru ambao utalala katika kata hiyo mara utakapo wasili wilayani humo, uliotungwa na vijana wa ...

TARI YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI WA KILIMO LA KUMPELEKA MTAALAM WA ZAO LA KOROSHO MANYONI

Image
Mratibu wa Utafiti wa zao la Korosho Kitaifa kutoka Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Naliendele, Dk. Geradina Mzena akizunguza katika hafla fupi ya kumpokea Mtaalam wa Kilimo Bora cha zao la Korosho iliyofanyika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ikiwa ni utekelezaji wa  agizo la Waziri wa Kilimo la kuitaka TARI kumpeleka mtaalam huyo wilayani humo ili kwenda kuwasaidia wakulima wa zao hilo. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, Melkzedeki Humbe akiishukuru Serikali na TARI kwa hatua ya kumpeleka mtaalam huyo ambaye walikuwa wakimuhitaji kwa siku nyingi kwa ajili ya kuwasaidia wakulima wa zao hilo wilayani humo.

RC SINGIDA AAGIZA WAKURUGENZI KUSHIRIKI ZIARA ZAKE BILA KUTUMA WAWAKILISHI

Image
Mkuu wa Mkoa Singida Dk.Binilith Mahenge akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Misigiri kilichopo Kata ya Ulemo wilayani  Iramba mkoani humo kwa ajili ya kusikiliza kero zao na kuzitafutia ufumbuzi.   Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Suleiman Mwenda akizungumza na wananchi katika mnada wa Kitukutu ambapo pia Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk.Binilith Mahenge alipata fursa ya kuzungumza nao na kupokea kero zao. Katibu Tawala wa Wilaya ya Iramba, Pius Sangoma akizungumza kwenye ziara hiyo. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi (ACP) Lukas Mwakatundu akizungumza na wananchi hao ambapo aliwaomba wafanye shughuli za ujasiriamali kama za kufungua migahawa na hoteli za kulala wageni na vijana kutojiingiza katika vitendo vya wizi katika malori ya mizigo yanayoegeshwa katika eneo la Misingiri jambo litakalo wafanya madereva wa magari hayo kupata muda wa kupumzika na hivyo kupunguza ajali zinazotokea Mlima wa Sekenke kutokana ka kuwa na usingizi. Mkazi wa Kijiji cha Misigiri...