Posts

Showing posts from July, 2022

WANANCHI WAZUIA MSAFARA WA WAZIRI WA MAJI, WALIA KERO YA MAJI

Image
Waziri wa Maji Jumaa Aweso (kulia) akiwasikiliza Wananchi wa Mto wa Mbu wilayani Monduli mkoani Arusha ambao waliusimamisha msafara wake jana wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi wakilalamia kukosa maji. Wananchi wakiwa na ndoo za maji na matawi ya miti wakati walipozuia msafara wa Waziri wa Maji Jumaa Aweso.

WAZIRI AWESO ATAKA MABONDE YA MAJI KWENDA KUJIFUNZA BONDE LA KATI UFANISI WA UTENDAJI KAZI

Image
Waziri wa Maji Jumaa Aweso (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi wa wa ujenzi wa ofisi ya maabara ya bodi ya maji Bonde la Kati, mjini Singida leo Julai, 30, 2022. Kutoka kulia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Singida, Yagi Kiaratu, Afisa wa Bodi ya Maji Bonde la Kati, Mhandisi Danford Samson, Mkuu wa Wilaya ya Singida, Mhandisi Paskas Mulagiri, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Singida, Lusia Mwiru na Mjumbe wa Siasa Mkoa wa Singida, Diana Chilolo. Waziri wa Maji Jumaa Aweso akizindua jengohilo lililopo Kata ya Utemini mjini Singida. Mkurugenzi wa Rasilimali za Maji Nchini Dk. George Lugomela akitoa taarifa ya mradi huo. Mwenyekiti wa Bodi ya Maji Taifa, Mhandisi Mbogo Futakamba akizungumza kwenye hafla hiyo. Mwenyekiti wa Bodi ya Maji Bonde la Kati, William Mabula akizungumza kwenye hafla hiyo. Waziri wa Maji Juma Aweso (katikati) akitoka kukagua maabara ya maji.   Afisa wa Bodi ya Maji Bonde la Kati, Mhandisi Danford Samson akiwatambulisha vion...

MADEREVA BAJAJ, BODABODA KUWA MABALOZI WA TANESCO SINGIDA

Image
Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja wa Shirika  la Umeme Tanzania i (TANESCO) Mkoa wa Singida, Rehema Mwaipopo akisisitiza jambo wakati akizungumza na madereva wa bajaj na bodaboda  katika Ukumbi wa Vatican uliopo eneo la Mwenge mjini hapa juzi. Mwenyekiti wa Chama cha Madereva na Wamiliki Pikipiki na Bajaj Tanzania (CHAMWAPITA) Mkoa wa Singida, Ahmed Mohamed, akizungumza kwenye mkutano huo. Kulia ni Diwani wa Kata ya Minga, Ibrahim Mrua.

SERIKALI, LIONS CLUB YAKABIDHI CHUO CHA UFUNDI MSANDAKA MKOANI KILIMANJARO

Image
Majengo ya Chuo cha Ufundi Msandaka yanvyoonekana baada ya ufunguzi uliofanywa na Mkurugenzi wa Elimu Mahitaji Maalum Tanzania Dkt. Magreth Matonya. Mkurugenzi wa Elimu Mahitaji Maalum Tanzania Dkt. Magreth Matonya akishuhudia wanafunzi viziwi wenye ujuzi katika fani ya ushonaji wanavyofanya.

WAZAZI WATAKIWA KUHAKIKISHA WATOTO WENYE ULEMAVU WANAHESABIWA

Image
 Mratibu wa Sensa Mkoa wa Singida, Naing'oya Kipuyo, akizungumza na Wakufunzi wa Makarani wa Sensa ya Watu na Makazi baada ya kuhitimu mafunzo hivi karibuni yaliyofanyika Chuo cha Ufundi VETA mkoani hapa.

DK. MWIGULU: UJENZI WA MIRADI YA BARABARA ILINGANE NA THAMANI YA FEDHA ZINAZOTOLEWA

Image
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Mwigulu Nchemba ambaye ni Mbunge wa Iramba Magharibi, akizungumza katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa, kilichofanyika leo Julai 27, 2022 katika Ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida. Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Binilith Mahenge ambaye alikuwa Mwenyekiti akiongoza kikao hicho Makamu Mwenyekiti wa kikao hicho ambaye ni Mbunge wa Singida, Kaskazini, Ramadhan Ighondo akizungumza kwenye kikao hicho. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Alhajj Juma Killimba akizungumza kwenye kikao hicho ambapo aliwapongeza wabunge wa mkoa huo kwa kazi nzuri wanayifanya. Wabunge wa Mkoa wa Singida wakiwa kwenye kikao hicho. kikao kikiendelea.

TANESCO SINGIDA YAANZA KUPOKEA MAONI YA WANANCHI KUHUSU NISHATI YA UMEME

Image
Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Singida, Mhandisi Florence Mwakasege akizungumza na Wananchi wa Kata ya Iguguno wilayani Mkalama  leo Julai 26, 2022  wakati akisikiliza mahitaji na ushauri wao kuhusu sekta ya nishati. Afisa Mtendaji Kata ya Iguguno,  Josia Pangazi akizungumza kwenye mkutano huo. Kutoka kulia ni Meneja wa Tanesco Wilaya ya Mkalama, Mhandisi, Benedict Ryeimamu, Meneja wa Tanesco Mkoa wa Singida, Mhandisi, Florence Mwakasege na Mwenyekiti wa Kijiji cha Iguguno Kiula Solomon. Mwenyekiti wa Kijiji cha Iguguno, Kiula Solomon akizungumza kwenye mkutano huo. Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja wa Tanesco Mkoa wa Singida, Rehema Mwaipopo akizungumzia  huduma mpya ya maombi ya kuunganishiwa umeme kwa njia ya mtandao  iitwayo NIKONEKT  ambayo inafanyika kwa kutumia simu ambapo muombaji anaomba akiwa nyumbani bila ya kufika ofisi za shirika hilo. Mwenyekiti wa Kitongoji cha Iguguno Mashariki, Nicolaus Ernest akizungumza kweny...

TFRA YATOA WITO KWA WAKULIMA KUJISAJILI ILI WANUFAIKE NA RUZUKU YA SERIKALI

Image
    Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania –TFRA Dkt Stephan Ngailo akizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam akitoa taarifa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan kuzindua mpango wa utoaji wa ruzuku ya mbolea kwa wakulima. ………………………. NA MUSSA KHALID Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania -TFRA imewataka wakulima nchini kujitokeza kujiandikisha na kujisajili kwenye Ofisi za serikali za vijiji vyao ili waweze kunufaika na mpango wa serikali wa kuwapunguzia makali ya bei ya Mbolea kupitia Ruzuku. Kauli hiyo imetolewa  jijini Dar es salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa TFRA Dkt Stephan Ngailo wakati akitoa taarifa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan kuzindua mpango wa utoaji wa ruzuku ya mbolea kwa wakulima. Dkt Ngailo amesema kutokana na kupanda kwa bei za mbolea katika soko la Dunia na hapa nchini serikali imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 150 kugharamia ruzuku ya mbolea itakayotolewa kwa wakulima w...

KAMATI YA SENSA MKOA WA SINGIDA YAWATEMBEA WAKUFUNZI 216 WATAKAO HITIMU MAFUNZO KESHO

Image
 Mratibu wa Sensa Mkoa wa Singida, Naing'oya Kipuyo, akizungumza wakati Wajumbe wa Kamati ya Sensa ya Watu na Makazi mkoani hapa walipowatembelea leo Julai 25, 2922 Wakufunzi wa Makarani wa Sensa wanaotarajiwa kuhitimu kesho Julai 26, 2022 katika ukumbi wa VETA mjini hapa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk.Binilith Mahenge anarajiwa kuwa mgeni rasmi. Mjumbe wa kamati hiyo Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Lucas Mwakatundu akijitambulisha kwa wakufunzi hao.

OFISI YA ARDHI MKOA WA SINGIDA YAANZA KUSIKILIZA KERO ZA MIGOGORO YA ARDHI

Image
Kamishna wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Singida, Shamim Hoza akizungumzia kuhusu ofisi  ya Ardhi Mkoa wa Singida ilivyoanza leo Julai 25,2022 kusikiliza kero za migogoro ya ardhi ya wananchi kwa kila halmashauri ili ziweze kutatuliwa. Wananchi wa Mkoa wa Singida wakiandika majina baada ya kufika Ukumbi wa Zamani wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida kupeleka kero zao zinazohusu ardhi.

MULUGO KULIPA WALIMU 11 MISHAHARA WANAOJITOLEA SEKONDARI YA NAMALAJI

Image
 Mbunge wa Jimbo la Songwe, Mhe. Philip Mulugo.

MBUNGE MULUGO AWAPIGA TAFU WAVUVI KUNUNUA INJINI YA BOTI

Image
Mbunge wa Jimbo la Songwe, Philip Mulugo.