MSAJILI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI ATEMBELEA JOWUTA
Katibu Mkuu wa JOWUTA Selemani Msuya (kulia) akitoa maelezo kwa Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi nchini, Pendo Berege ambaye ametembelea ofisi za makao makuu ya JOWUTA yaliyopo Chang'ombe Madukani wilayani Temeke jijini Dar es Salaam. Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi nchini Pendo Berege akisaini kitabu cha wageni cha JOWUTA alipotembelea ofisini za makao makuu yake.