Posts

Showing posts from September, 2022

REA YAWANOA WABUNGE KUHUSU MRADI WA KUSAMBAZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA VIJIJINI

Image
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azan Zungu, akifungua Semina ya kuwajengea uwezo Wabunge Wanawake kuhusu Mradi wa kusambaza nishati safi na salama ya kupikia vijijini, iliyofanyika Dodoma, Septemba 22, 2022. Semina hiyo iliandaliwa na REA. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Dunstan Kitandula, akizungumza wakati wa Semina ya kuwajengea uwezo Wabunge Wanawake kuhusu Mradi wa kusambaza nishati safi na salama ya kupikia vijijini, iliyofanyika Dodoma. Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy akizungumza wakati wa Semina ya kuwajengea uwezo Wabunge Wanawake kuhusu Mradi wa kusambaza nishati safi na salama ya kupikia vijijini, iliyofanyika Dodoma. Mgeni Rasmi katika Semina ya kuwajengea uwezo Wabunge Wanawake kuhusu Mradi wa kusambaza nishati safi na salama ya kupikia vijijini, ambaye ni Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Azzan Zungu (katikati) akifuatilia Mada zilizokuwa zikiwasilishwa. Wengine pich...

TANZANIA YAJIPANGA KULINDA MAJI NA MAZINGIRA UKANDA WA MAGHARIBI MWA BAHARI YA HINDI

Image
   Mkuu wa Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya,   Reuben Mfune akifungua mafunzo hayo ya kimataifa ya kujengea uwezo wataalamu wa Tathimini ya Maji kwa  Mazingira, Pembeni yake ni Mkuu wa Mradi wa wa Utafiti wa  EFLOWS Prof. Japhet Kashaigili kutoka SUA.   Mtafiti Mkuu wa Mradi huo kutoka (SUA) Prof. Japhet Kashaigili akieleza malengo ya Mafunzo hayo ya kuwajengea uwezo wataalam wa masuala ya Maji kwa Mazingira na tathimini yake kutoka nchi nzima na nchi zingine 11 za magharibi mwa bahari ya Hindi. Meneja wa Programu ya Mazingira ya Bahari (WIOMSA) ambao ndio wafadhili wa mafunzo hayo, Dk Mathias Igulu akitoa salamu za Taasisi yao umuhimu wa mafunzo hayo kwa nchi wanachama. Mratibu wa Mradi wa Tathimini ya maji kwa mazingira EFLOWS Dk. Winfred Mbungu akitoa neno la shukrani kwa mgeni rasmi mara baada ya kufungua mafunzo hayo ya siku tano.    Picha ya pamoja ya washiriki wa mafunzo hayo kutoka Taasisi mbalimbali nchi nzima ambazo zinahusi...

MFUKO WA MAENDELEO WA MUFTI WAZINDULIWA RASMI SINGIDA

Image
Mufti  wa Tanzania Sheikh Dk. Abubakar Zubeir Ally Mbwana (katikati) akizungumza wakati akiongoza maelfu ya Waislam mkoani Singida katika hafla ya kuzindua Mfuko wa Maendeleo wa Mufti katikahafla iliyofanyika leo Septemba 19, 2022 Stendi ya zamani mjini haaapa. Kushoto ni Katibu wa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) Nuhu Jabir Mruma na kulia ni Sheikh wa Mkoa wa Singida, Issah Nassoro Issah. Sheikh wa Mkoa wa Singida, Issah Nassoro Issah. akizungumza kwenye uzinduzi huo. Mbunge wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu akizungumza kwenye uzinduzi wa mfuko huo. Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Suleiman Mwenda akizungumza. Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskas Muragili akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mfuko huo. Mkurugenzi wa Mfuko wa Maendeleo wa Mufti akizungumzia umuhimu wa mfuko huo na jinsi utakavyokuwa ukifanya kazi. Mjumbe wa Baraza la Ulamaa Bakwata Taifa, Sheikh Ally Hamisi Ngorike akizungumza....

MUFTI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA OFISI YA BAKWATA MKOA WA SINGIDA

Image
Mufti wa  Tanzania Sheikh Dk.Abubakar Zubeir (wa pili kushoto) akiongoza kuomba dua baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi ya Baraza Kuu la Waislam  Mkoa wa Singida (BAKWATA) inayojengwa katika msikiti wa Masjid Taqwa mjini hapa katika hafla iliyofanyika leo Septemba 18, 2022. Kutoka kulia Katibu wa Bakwata Mkoa wa Singida, Sheikh Burhan Mlau, Sheikh wa Mkoa wa Singida Issah Nassoro na Rais wa Taasisi wa Majmaul Ahbaab, Sharif Muhamad Bin Said Al-Beidh. Mufti wa  Tanzania Sheikh Dk.Abubakar Zubeir (kushoto) akiwa na viongoziwengine katika hafla hiyo. Kutoka kulia ni  Sheikh wa Mkoa wa Singida Issah Nassoro na Rais wa Taasisi wa Majmaul Ahbaab, Sharif Muhamad Bin Said Al-Beidh. Mufti wa  Tanzania Sheikh Dk.Abubakar Zubeir akizungumza na Waislam wakati alipotembelea   Taasisi wa Majmaul Ahbaab.. Mufti wa  Tanzania Sheikh Dk.Abubakar Zubeir akionesha Tuzo ya heshima baada ya kutunukiwa  na Rais wa Taasis...

PROFESA NDALICHAKO AKAGUA MRADI WA VIJANA, KITALU NYUMBA MANISPAA YA SINGIDA

Image
Waziri  wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Profesa Joyce Ndalichako (wa pili kulia) akipata maelezo leo Septemba 17, 2022 kutoka kwa Kiongozi wa Wanufaika wa mradi wa Kitalu Nyumba, Emmaculatha Nkumbi (katikati) wakati wa ziara yake ya siku moja ya kukagua mradi huo wa kilimo  cha mbogamboga na matunda wenye thamani ya Sh. 30 Milioni unaotekelezwa Manispaa ya Singida.Kutoka kushoto ni mnufaika wa mradi huo,   David Nyitika, Madania Juma na Kaimu Katibu Tawala Wilaya ya Singida, Ally Mwendo. Wanufaika wa mradi huo Madania Juma na David Nyitika (kulia) wakiwajibika katika Kitalu Nyumba.

MAAFISA AFYA SINGIDA WAPONGEZWA KWA KUTEKELEZA KAMPENI YA USAFI WA MAZINGIRA

Image
 Mganga Mkuu Mkoa wa  Singida Dk.Victoria Ludovick. akizungumza kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida na Maafisa Afya kutoka halmashauri zote za wilaya mkoani hapa  wakati wa kikao kazi kilichofanyika leo Septemba 16, 2022 katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Kushoto ni Afisa Afya Mkoa wa Singida, Mgeta Sebastian na kulia ni Afisa Afya Mazingira na Mwenyekiti wa Chama cha Maafisa Afya Mkoa wa Singida, Evaristo Mwinuka. Afisa Afya Mkoa wa Singida, Mgeta Sebastian akizungumza kwenye kikao hicho. Katibu wa Afya Mkoa wa Singida, Vedastus Kiwango akizungumza kwenye kikao hicho. Mratibu wa Malaria Mkoa wa Singida, Dk. Abdallah Balla akizungumza kwenye kikao hicho.   Mratibu wa Chanjo Mkoa wa Singida , Habibu Mwinory akisisitiza jambo kwenye kikao hicho. Maafisa Afya wakiwa kwenye kikao hicho. Kikao kikiendelea. Kikao kikiendelea. Maafisa Afya wakiwa kwenye kikao hicho. Taswira ya kikao hicho. Afisa Afya wa Wilaya ya Manyoni  Seif Swedi akic...