Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Ally Mwanga akizungumza na Madiwani wa halmashauri hiyo wakati akifungua kikao cha kawaida cha baraza la madiwani ambacho ni cha mwisho wa mwaka kilichoketi leo Septemba 6, 2022 wilayani humo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Petro Mtyana na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Justice Kijazi. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Justice Kijazi akizungumza kwenye kikao hicho. Kikao kikiendelea. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma ya Jamii, ambaye ni Diwani wa Kata ya Siuyu, Selestine Yunde, Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Uchumi, Halima Ng'imba na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili, Diwani wa Kata ya Muhintiri, Hamisi Mpuma. Makamu Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Petro Mtyana akizungumza kwenye kikao hicho. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ikungi Mika Likakapa akizungumza kwenye kikao hicho. Baadhi ya maafisa watendaji na wataalamu wa halmashauri hiyo wak...
Comments
Post a Comment